Select Menu

Random Posts

Powered by Blogger.

Design

Technology

Circle Gallery

Shooting

Racing

News

Bottom


Mgeni Rasmi Waziri wa Viwanda na Biashara Mh. Dkt. Abdallah Kigoda akitoa hotuba katika Maadhimisho ya 23 ya Siku ya Viwanda Afrika yaliyofanyika jijini Dar es Salaam leo, ambapo amesema hakuna nchi hapa duniani ambayo imepata maendeleo ya kudumu kwa wananchi wake bila kuendeleza viwanda, kwa sababu viwanda vinatoa ajira na hivyo kupunguza umasikini wa kipato kwa wananchi wanaozalisha bidhaa viwandani.
Akifungua maadhimisho hayo Mh. Dkt. Kigoda amesema Tanzania tunaendelea kujijengea msingi bora wa kuendeleza viwanda vyetu ambapo jumla ya viwanda vyote nchini ikijumuisha na mitambo ya kufua umeme ni takriban 733. Mapema Mh. Dkt. Kigoda pia alizindua rasmi Ripoti ya Hali ya Ushindani wa Sekta ya Viwanda Nchini 2012 ambayo pamoja na mambo mengine imetoa mapendekezo kwa maeneo yanayoonekana yanahitaji msukumo ili kuongeza kasi ya uendelezaji viwanda.
Maudhui ya Ripoti hiyo iliyoandaliwa na Wizara ya Viwanda na Biashara kwa kushirikiana na UNIDO yanashabihiana kwa karibu sana na kauli mbiu ya ya mwaka huu. Kauli mbiu ya ya mwaka huu ni “Kuongeza Kasi ya Maendeleo ya Viwanda kwa Ajili ya Kukuza Biashara Baina ya Nchi za Afrika”.
Mwenyekiti wa Shirikisho la Wenye Viwanda Tanzania (CTI) Bw. Felix Mosha akizungumza machache kumkaribisha mgeni rasmi pamoja na wageni waalikwa katika maadhimisho hayo.
Mratibu Mkazi wa Umoja wa Mataifa nchini Tanzania Dkt. Alberic Kacou akizungumzia Siku ya Viwanda Afrika na kusema kuwa ilitengwa na Umoja wa Mataifa mwaka 1989 kwa madhumuni ya kuzitaka nchi za Afrika pamoja na Jumuiya ya Kimataifa kubaini na kutambua umuhimu wa viwanda na mchango wake katika maendeleo ya Bara la Afrika. Amesema Siku ya Viwanda Afrika kwa mwaka huu inaangazia umuhimu ambao biashara baina ya mataifa ya Afrika inaweza kuchangia kupunguza umasikini, kuongeza akiba ya chakula na lishe na kuwezesha maendeleo endelevu. Uchumi wa Afrika mpaka sasa kwa kiasi kikubwa umekuwa ukitegeme kilimo kama uti wa mgongo, lakini viwanda ndio njia pekee ya kuweza kufanya mabadiliko yatayowezesha kunyanyua uchumi wa mataifa ya Afrika. Moja ya vigezo vikubwa vya kufanya mabadiliko ni madiliko hali ya mifumo kutoka kilimo kuelekea viwanda.
Mgeni Rasmi Mh. Dkt. Kigoda akikata utepe kuzindua rasmi Ripoti ya Hali ya Ushindani wa Sekta ya Viwanda Nchini 2012 iliyoandaliwa na Wizara ya Viwanda na Biashara kwa kushirikiana na Shirika la Umoja la Maendeleo ya Viwanda UNIDO, akisaidiwa na Mwenyekiti wa CTI Bw. Felix Mosha, akishudiwa na Mratibu Mkazi wa Umoja wa Mataifa nchini Tanzania Dkt. Alberic Kacou.
Imezinduliwa rasmi..!!
Pichani ni baadhia ya wadau waliohudhuria maadhimisho ya Siku ya Viwanda Afrika wakiwemo mawaziri, waheshimiwa mabalozi, waheshimiwa wabunge, makatibu wa kuu wa wizara, wakuu wa mashirika na waheshimiwa washirika wa maendeleo.
Mgeni rasmi katika Maadhimisho ya 23 ya Siku ya Viwanda Afrika Mh. Dkt. Kigoda katika picha ya pamoja na mawaziri wa serikali, makatibu wakuu wa wizara, wakuu na viongozi wa mashirika ya Umoja wa Mataifa, wakurugenzi na maafisa wa taasisi mbalimbali na wadu wengine mara baada ya kukamilika uzinduzi wa ripoti na hotuba japokuwa kongamano bado linaendelea katika hoteli ya Serena jijini Dar es Salaam.


Pichani Juu na Chini ni mfululizo wa maonyesho ya sarakasi ya 'Mama Africa Circus'.
 
  Picha Juu na Chini ni baadhi ya wadau walioshiriki maonyesho hayo wakifurahia. 
 
 "Karibuni watanzania wote muone sarakasi na utamaduni wa kitanzania".
 
 Trade Marketing Supervisor wa kampuni ya simu za mkononi ya TIGO ambao ndio wadhamini wakuu wa maonyesho ya 'Sarakasi ya Mama Afrika' yanayoendelea katika viwanja vya New World Cinema Bw. Gaudens Mushi akiwakaribisha wageni waliohudhudhuria onyesho hilo. kushoto ni Afisa Mahusiano wa TIGO


"Expendables 2" claimed the weekend box office title with $28.7 million in ticket sales, but it wasn't as explosive an opening as expected for Sly Stallone, Arnold Schwarzenegger and the over-the-hill gang.
The R-rated action sequel from producer Avi Lerner's Millennium Pictures and Lionsgate came in under the $35 million analysts projected and failed to match the numbers put up by the original. That film bowed to $34 million and topped the weekend two years ago, on its way to $274 million in worldwide grosses.
Lionsgate, which is distributing the film, wasn't disappointed that the geezer gang wasn't as bad-ass at the box office this time around.
"We're focusing on the 'A-' CinemaScore," David Spitz, executive vice president of theatrical distribution at Lionsgate told TheWrap Sunday. "The way the film skewed, 63 percent male, 65 percent over 25, coupled with that good word of mouth sets us up pretty well for the next couple of weeks."


Mkuu wa Wilaya ya Moshi Mjini Dr Msengia  akiaga baada ya kuitembelea timu Serengeti Fiesta 2012 Mkoa wa Kilimanjaro jioni ya leo. Katikati ni Erick Kussaga ambae ni Mzalishaji wa timu ya Fiesta mkoani humo.
Mkuu wa Wilaya ya Moshi Mjini Mheshimiwa Dr Msengi akiwa na Afisa Uhusiano wa Clouds Entertainment Co. LTD kwa upande wa Viongozi wa Taasisi za Serikali na Vyama vya Siasa Ndugu Simalenga Simon wakati Mkuu huyo wa Wilaya alipoitembelea timu ya amsha amsha ya tamasha la Serengeti Fiesta 2012 Mkoani Kilimanjaro jioni hii.Tamasha la Serengeti Fiesta 2012 linatarajia kuzinduliwa rasmi kesho katika uwanja wa chuo cha Ushiriki mkoani humo,ambapo msanii nyota kutoka nchini Kenya,CMB Prezoo ataliongoza jahazi la wasanii mbalimbali kutoka hapa nyumbani,katika tamasha hilo kiingilio kimepangwa kuwa ni shilingi 5000 kwa kila kichwa. 
Mmoja wa washabiki wa tamasha la Serengeti Fiesta damu akiwa na fulana yake ya tamasha hilo lililowahi kufanyika mjini moshi lililopachikwa jina la jipanguze kama uonavyo pichani.Wanaharakati anuai wa tamasha la serengeti fiesta 2012 leo wameamsha amsha wakazi wa mji huo katika maeneo mbalimbali ikiwemo Himo,Stendi kuu ya mabasi pamoja na soko la Mbuyuni na kutoa zawadi ya mafuta ya gari/pikipiki na bajaji kutoka kampuni ya Gapco ambayo ni sehemu ya wadhamini wa tamasha hilo,kwa watu kadhaa ikiwa ni sehemu ya shamra shamra za awali ya tamasha lenyewe.
Competition
Premier League
Date
8 May 2012
Game week
37
Kick-off
21:00

Additional info


Referee
K. Friend
Assistants
D. Bond
 
S. Long
Fourth official
A. Marriner

leo1.jpg


Real Name: Hrithik Nagrath Roshan

Stage Name: Hrithik Roshan

Nationality: Indian

Address: c/o Filmkraft
Mayur, Tilak Road,
Santacruz (West),
Mumbai 400 054
INDIA
Hrithik Roshan Fanmail (home)
37, Kavita Building
11th Road, Juhu
Mumbai 400 049

Birthdate: January 10, 1974

Height: Approx. 6'0"

Weight: 155-165 lbs

Family: Father:...Rakesh Roshan (Director/Actor)
Mother:...Pinky Roshan
Sister:.. .Sunaina (she is older than Hrithik)


Marital Status: Married to Suzanne Khan (Daughter of Zarine & Actor Sanjay Khan) 

leo1.jpg
'We don't have time to perfect our work'

Hrithik Roshan is still as shy as he used to be in the days before he became a star. Says his fond papa, "He has not changed one bit." Rakesh Roshan's words ring true when one sees an embarrassed Hrithik dealing with the adulation and obliging his fans for autographs, whether at Santa Cruz airport in Bombay or Hotel Taj in Ahmedabad or City Pulse in Gandhinagar. A quick interview with the Roshans.

Has the father-son equation changed after Kaho Naa...Pyaar Hai?

Hrithik (smiling): Not at all. The equation was established when I assisted dad in production, direction and editing before he launched me in Kaho Naa...Pyaar Hai.

Did assisting your father help you in your performance?

Hrithik: Of course. The training period under my dad has been of immense help. You can know what is right only when you know what's wrong.When dad used to correct Salman or Shah Rukh on the sets of Karan Arjun, I used to ask him why he said what he said.

Besides, Dad and I used to discuss a great deal in the editing room, that's another way in which I learnt what was wrong and what was right. And wrong and right before the camera are quite different from what they may be in real life. For instance, if, in a scene, an actor is talking to someone and another person, who is not in the frame, passes by, the natural reaction would be for the actor to look at the person passing by. But dad once explained to me that if the camera caught the actor's eyes moving somewhere else, the director would also have to show to the audience that other person who was passing by.

I have been really very lucky to have undergone training in direction before becoming an actor because I find it easier to visualise what exactly a director wants of me.

What was Hrithik's contribution to Kaho Naa...Pyaar Hai?

Rakesh: I would say that at least 50 per cent of the credit for the success goes to Hrithik. We had constant discussions on the sets and in the editing room. Because he belongs to today's generation, he knew what the look of the film had to be. I used to readily accept his suggestions relating to the look of the film. His other suggestions were also good. But he did get a little worried when I did not keep a single dramatic scene for him in the film. He told his mother, 'Mama, please tell papa to include at least one dramatic scene for me.' But I never heeded this suggestion of his.

What is Hrithik's forte -- dance, action, emotions or comedy?

Rakesh: We need to see him in a couple of more films to really gauge his forte. An actor opens up with every film and I am confident that Hrithik will be able to handle all of them with elan.

Is Hrithik as comfortable on the sets of other directors as he is with his dad?

Hrithik: I understand that no other director can give me the space which dad gave me in my first film. But I am unhappy about how the industry functions. We all work like machines, we don't have the time to rehearse, to perfect our work. I guess it's the system, but I am very very sad about it. I find myself helpless because I can't change the system all by myself.
Nani


Barclays Premier League

  • Venue: Old Trafford
  • Date: Monday, 26 March

TEAM NEWS

Manchester United will again be without Nani and Michael Owen, although the duo should resume training soon.
Tom Cleverley and Phil Jones made their comebacks for the reserves on Thursday, and both players are expected to be available.
Fulham manager Martin Jol has reported no fresh fitness concerns ahead of Monday's game.
Orlando Sa, Steve Sidwell and Zdenek Grygera remain sidelined by injury and will not be involved at Old Trafford.

MATCH PREVIEW

In 2003, Martin Jol came close to joining Manchester United to work as Sir Alex Ferguson's number two  . Nine years on, the Dutchman will be loathe to offer a helping hand to United's title charge, but the form book suggests his Fulham side are unlikely to offer much assistance to the blue half of Manchester.
Every game is must-win now. That is no issue for me. I have been used to that for years
Man Utd boss Sir Alex Ferguson
In just under half a century, Fulham have avoided defeat at Manchester United only once. They have conceded 15 goals on their last five trips to Old Trafford, and were thrashed 5-0 in December's reverse fixture at Craven Cottage.
If they are to cause an upset, it's a fair bet that Pavel Pogrebnyak will have a big part to play. The Russian has history against United, having scored the opening goal when Zenit St Petersburg beat United to lift the European Super Cup in 2008 .
Pogrebnyak has netted five times in as many games since joining Fulham in January, but will be a free agent in the summer when his short-term deal with the club expires. However, Jol says he is confident of signing the 28-year-old on a permanent basis.
Manchester United's only significant signing in the last transfer window was tempting 37-year-old Paul Scholes out of retirement, a move that Patrick Vieira, now Manchester City's football development executive, says "shows a little bit of weakness".
That remark brought a stinging rebuke from Ferguson, who was quick to cite City's willingness to recall Carlos Tevez as evidence of "desperation" at Eastlands. It's debatable just how much impact such verbal sparring will have on events on the pitch, but it's clearly something the United manager relishes: "We are all going to play our hand - I have plenty of ammunition that way."

MATCH FACTS

Head-to-head
  • This is the 77th meeting between the clubs. Manchester United have won 44 times, Fulham 14 and there have been 18 draws.
  • The Red Devils have won their last eight league and cup games against Fulham at Old Trafford, scoring a total of 22 goals.
  • Fulham have avoided defeat away to Manchester United only once in 49 years - that was a 3-1 Premier League victory in October 2003, when Lee Clark, Steed Malbranque and Junichi Inamoto scored for the visitors.
Manchester United
  • The Red Devils have scored 73 goals from 29 league games, the most by any top-flight club at this stage of the season since Tottenham in 1963-64.
  • The last time United had scored more at this point was the 1957-58 campaign, when they had 74. Their 29th league match that season was the first following the Munich air crash.
  • United already have 70 points - just five fewer than their final tally when they won the Premier League in 1996-97. Their current points total would have been enough to win the title that season, as runners-up Newcastle gained just 68 points.
  • Wayne Rooney has scored 10 goals in his last eight league and cup games.
  • United have claimed 25 points from a possible 27 since losing back-to-back games at the turn of the year.
Fulham
  • Martin Jol's side have scored just eight away goals - the lowest tally in the top flight.
  • They have lost their last two league games, failing to score in both matches. The last time they lost three in a row without scoring was in January 2010.
  • The Cottagers are unbeaten in the 10 Premier League matches in which they opened the scoring this term, winning seven of those games. Only two other clubs are unbeaten after scoring first - Manchester United and Bolton

NI GROUP NDANI  FACEBOOK SOCIAL NETWORK
NA YAFUATAYO NI MASHARTI/MUONGOZO WA KUNDI KWA KIFUPI
KUNDI HILI LIMEANZISHWA MAALUMU KWA AJILI YA KUTATUA MATATIZO NA KUJIFUNZA MAMBO YOOTE YANAYOHUSU MAHUSIANO KATIKA NDOA NA YALE YA WANAOJIANDAA KWENDA KWENYE SAFARI HIYO AMA KWA KUTAFUTA MCHUMBA AU KWA KUWA KATIKA MAHUSIANO YA UCHUMBA.
HATURUHUSU
1. PICHA ZA UCHI
2. MATUSI/MZAHA/KASHFA NA MAJIBIZANO YA KUCHUKIZANA
3. SIASA
4. USHABIKI WA TIMU ZOZOTE

ADMIN WANA HAKI YA KUKUFUTIA UANACHAMA WAKATI WOWOTE NA BILA KUULIZWA NA MTU YEYOTE IWAPO TUU UTAONYESHA KUWA SUMU KWA MAENDELEO YA KUNDI..


JE UNGEPENDA KUJUA UTAMU WA MAISHA, UNA TATIZO KATIKA MAHUSIANO YAKO YA KIMAPENZI???? DONT BE SHY,  NI HAKI YAKO KUJIUNGA!!! 
Tembelea  LOVE AFFAIRS